Breaking

Tuesday, 18 March 2025

MTENDAJI MKUU WA BENKI YA NMB ATEMBELEA OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI

Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna (hayupo pichani) alipomtembelea Wakili Mkuu wa Serikali kwa lengo la kujitambulisha Ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Bi. Ruth Zaipuna akizungumza na Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Ally Possi (hayupo pichani) alipomtembelea kwa lengo la kujitambulisha Ofisini kwake jijini Dar es Salaam.

Maafisa waandamizi wa Benki ya NMB wakimsikiliza Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi (hayupo pichani) akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo,
Bi. Ruth Zaipuna (hayupo pichani) walipomtembelea Wakili Mkuu wa Serikali kwa lengo la kujitambulisha ofisi kwake jijini Dar es Salaam.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages