Breaking

Sunday, 16 March 2025

KAMATI YA BUNGE YA LAAC YAANZA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA AFYA NA ELIMU MKOANI IRINGA

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) chini ya Mwenyekiti wake Mheshimiwa Halima Mdee imeanza ziara yake ya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya afya na elimu katika Mkoa wa Iringa ambapo itatembelea Halmashauri ya Manspaa ya Iringa Mjini, Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo na Halmashauri ya Wilaya Mufindi.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages