Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa, Christina Kibiki ameuawa kwa madai ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo Jumatano Novemba 13, 2024.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990