Breaking

Wednesday 25 September 2024

MHANDISI KUNDO AKUTANA NA WADAU SEKTA YA MAJI NCHINI



Naibu Waziri wa Maji Mhe. Kundo A. Mathew (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na wadau wa Sekta ya Maji wanaoshughulika na Usambazaji wa madawa ya kutibu na kusafisha Maji Ofisi za Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) uliofanyika Jijini Dar es salaam.

Kikao hicho kimehudhuliwa na Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASA Mhandisi Mkama Bwire pamoja na Menejimenti ya DAWASA.



Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages