Breaking

Wednesday 21 August 2024

DAWASA YASHIRIKI KONGAMANO LA WANAWAKE WAHANDISI



Sehemu ya watumishi wahandisi Wanawake wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) katika kongamano la 9 la wahandisi Wanawake lililoandaliwa na Taasisi ya wahandisi Tanzania linalofanyika kuanzia tarehe 21 - 22 Agosti, 2024 - jijini Dar es Salaam.

Kongamano hilo limefunguliwa na Waziri wa Ujenzi, Mhe. Innocent Bashungwa limebeba kaulimbiu ya "Nguvu ya Wahandisi Wanawake katika kuendeleza maendeleo kuelekea ulimwengu endelevu."
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages