Breaking

Tuesday 9 July 2024

UIMARISHAJI HUDUMA YA MAJI - TEGETA NYUKI



Zoezi la udhibiti upotevu wa maji likiendelea kutekelezwa na mafundi wa DAWASA katika bomba lenye ukubwa wa inchi 6 eneo la Tegeta Nyuki ili kuimarisha huduma ya Majisafi.

Udhibiti upotevu wa maji umekua kipaumbele cha Mamlaka katika eneo lake la kihuduma na kukamilika kwa kazi hii kutanufaisha wakazi wa eneo la Tegeta Nyuki wanaohudumiwa na Bomba hilo.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages