Breaking

Wednesday 3 July 2024

BALOZI MAVULA AFANYA KIKAO NA MWENYEKITI WA MOM PAMOJA NA WASANII TANZANIA

Mapema leo, mwenyekiti wa Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao (MOM) akiongoza wasanii wa Filamu Tanzania kwenye kikao rasmi na Balozi wa Tanzania nchini Korea ya Kusini, Mheshimiwa Balozi Togolani Mavura jijini Seoul, Korea ya Kusini. 

Wasanii hao wapo katika ziara ya siku kadhaa ya kujifunza mambo mbalimbali ya Filamu .Huu ni muendelezo wa ziara iliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzani mapema mwezi huu alipotembelea nchi hiyo.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages