Breaking

Friday 14 June 2024

MAJALIWA AMKARIBISHA ZUHURA YUNUS OFISI YA WAZIRI MKUU

 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Zuhura Yunus, mara baada ya Zuhura kuapishwa na Rais Samia Suluhu Hassan kushika nafasi hiyo jana, Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Zuhura amepandishwa cheo kutoka nafasi yake ya awali ya Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais.

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages