Breaking

Tuesday 4 June 2024

MABORESHO MIUNDOMBINU YA MAJI KIPAWA




Kazi ya matengenezo ya bomba la inchi 6 ikitekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) - katika Wilaya ya Temeke eneo la kiwanda cha samaki Kipawa.

Kazi hiyo imetekelezwa kwa lengo la kuboresha upatikanaji wa Maji kwa Wananchi wa Kiwalani na eneo la Kiwanda cha Pepsi.

Matengenezo hayo ni sehemu ya jitihada za DAWASA za kuhakikisha upatikanaji wa huduma ya maji unaendelea kuimarika katika eneo lake la kihuduma.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages