Breaking

Tuesday 25 June 2024

DAWASA MTAA KWA MTAA KAWE

Zoezi la ufuatiliaji wa malipo ya huduma za maji kwa wateja wa madeni ya muda mrefu na muda mfupi likiendelea katika mkoa wa kihuduma DAWASA Kawe.

Zoezi hili linaenda sambamba na kutoa elimu ya matumizi sahihi ya maji, ulinzi wa miundombinu ya maji, pamoja na umuhimu wa kulipa bili za maji kwa wakati sambamba na kusitisha huduma kwa wateja wenye malimbikizo ya muda mrefu.

Mamlaka inaendela kuwasisitizia Wateja kulipa bili kwa wakati ili kuisaidia Mamlaka kuboresha zaidi huduma zake.




Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages