Breaking

Saturday 13 April 2024

BALOZI DKT. NCHIMBI NA WAJUMBE WAKE WAMEWASILI MKOANI KATAVI KUANZA ZIARA YA MIKOA SITA NCHINI

Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dk, Emmanuel John Nchimbi na ujumbe wake amewasili asubuhi hii mkoani Katavi kuanza ziara ya mikoa sita nchini. Katika ziara hii anaongozana na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makala na Katibu wa NEC, Oganaizesheni, Issa Ussi Haji Gavu
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages