Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga pamoja Naibu Waziri Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Khamis wamemtembelea na kumfariji Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Hamad Masauni kufuatia kifo cha Baba yake Mzee Masauni aliyefariki dunia tarehe 23 Februari, 2024 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: + 255 621 615 613 au +255 621 896 990