Sambamba na zoezi hilo, elimu ya huduma za maji, njia za malipo pamoja na mawasiliano na Mamlaka zinatolewa kwa wateja wapya.
Takribani Wananchi 200 katika maeneo tajwa watanufaika na huduma ya majisafi baada ya maunganisho kukamilika.
Endelea kuwasiliana na DAWASA kupitia kituo cha huduma kwa wateja namba 0800110064 (Bure) au 0734 355 755 (DAWASA Mivumoni).






