Breaking

Tuesday 27 February 2024

DK. NCHIMBI AMJULIA HALI MWENYEKITI ALAT TAIFA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi Jumatatu, Februari 26, 2024, alimtembelea kumjulia hali Mwenyekiti wa Umoja wa Mamlaka ya Viongozi wa Serikali za Mitaa (ALAT) Taifa, Mhe. Murshid Ngeze, katika Hospitali ya CCBRT, jijini Dar Es Salaam, ambako Diwani huyo wa Kata ya Rukoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Bukoba, mkoani Kagera, amelazwa kwa ajili ya matibabu.
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages