Breaking

Thursday 18 January 2024

TANZANIA YAHUDHURIA MKUTANO KIMATAIFA KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA YA ANGA

  

Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa (MB), akifuatilia mkutano wa kimataifa wa mawaziri wa Usafiri wa Anga huko Hyderabad, India.

 Mkutano huo unajadili fursa na changamoto za sekta hiyo. Waziri Mbarawa ameandamana na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga la Tanzania, Bw. Hamza Johari
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages