Breaking

Monday 30 October 2023

EWURA YATEMBELEA MIRADI YA DAWASA



Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) Ndugu Kiula Kingu (wa nne kushoto) akitoa maelezo ya hali ya upatikanaji wa huduma ya maji na mikakati iliyopo ya kuboresha Usafi wa Mazingira mbele ya Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Maji na Nishati nchini (EWURA), inayoongozwa na Prof. Mark Mwandosya (wa kwanza kushoto).

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages