Breaking

Wednesday 27 September 2023

KIGAE ARIDHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA METROLOGY ANNEX CBE

Naibu Waziri Wizara ya Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe ameridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa jengo la Metrology Annex unaendelea katika Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Kampasi ya Dar es Salaam.

Hayo yamebainishwa wakati wa ziara ya kikazi iliyofanyika tarehe 26 Septemba, 2023 ambapo ilielezwa kuwa jengo hilo litagharimu kiasi cha Shilingi Bilioni 22.4, litakapokamilika litakuwa la ghorofa 10.

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages