Breaking

Tuesday, 18 October 2022

MTOTO WA MIAKA 10 ADAIWA KUMUINGIA MWENZAKE WA MIAKA MIWILI



Mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 10 katika mkoa wa Mjini Magharibi Zanzibar (Jina linahifadhiwa) anadaiwa kumuingilia mtoto wakike mwenye umri wa miaka 2.

Mama wa mtoto aliyefanyiwa kitendo hicho amedai kuwa aligundua tukio hilo wakati akimuogesha mtoto wake na alipomuuliza nani amefanya kitendon hicho alimtaja mtoto mwenzake kuwa anahusika

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Mjini Magharibi Richard Thadeo Mchomnvu ameitaka jamii kuishi katika mila na desturi na kuwalea watoto katika misingi ya dini ili kuepuka matukio kama hayo.


VIA: EATV
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages