Breaking

Thursday 28 July 2022

RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI WA MAKATIBU TAWALA WA MIKOA





Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa wapya saba na kuwahamisha vituo vya kazi makatibu tawala 10 na wengine tisa kubakia kwenye vituo vyao.











Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages