Tuesday, 12 April 2022

MANARA AMVAA MAKONDA BAADA YA KUTAJA MAKUNDI YENYE NJAMA ZA KUMUUA

 



Msemaji wa Timu ya mpira wa miguu ya Klabu ya Yanga, Haji Manara amemvaa Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda baada ya  makonda kudai kuwa, kuna mkakati unaoratibiwa na makundi matano kwa ajili ya kuangamiza maisha yake.

Makonda ameyaeleza hayo jana Jumatatu April 11, 2022 kupitia ukurasa wake wa Instagram huku akiyataja makundi hayo na kujiuliza mambo mawili.


Kutoka Ukurasa wa Instagram ya Paul Makonda (Baba Keagan) ameandika kuwa;




Baada ya kuandika maneno hayo Msemaji wa Timu ya mpira wa miguu ya Klabu ya Yanga, Haji Manara amemjibu Makonda kupitia post yake katika comment kuwa;
Manara hakuishia hapo, akaongeza kuwa;







Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia langolahabari@gmail.com au WhatsaApp: +255 621 896 990

Pages